Job 31:23 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana maafa kutoka kwa Mungu ni kitisho kwangu; mimi siwezi kuukabili ukuu wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu, nami kwa kuuogopa utukufu wake sikuweza kufanya mambo kama hayo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwani msiba utokao kwa Mungu ulikuwa na kitisho kwangu, Na kwa sababu ya ukuu wake sikuweza kufanya neno.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana maafa kutoka kwa Mungu ni kitisho kwangu; mimi siwezi kuukabili ukuu wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu, nami kwa kuuogopa utukufu wake sikuweza kufanya mambo kama hayo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu, nami kwa kuuogopa utukufu wake sikuweza kufanya mambo kama hayo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwani msiba utokao kwa Mungu ulikuwa na kitisho kwangu, Na kwa sababu ya ukuu wake sikuweza kufanya neno.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana maafa kutoka kwa Mungu ni kitisho kwangu; mimi siwezi kuukabili ukuu wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani mwangamizo wa Mungu ungalinistusha, nisiweze kusema neno kwa hivyo, anavyotukuka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwani msiba utokao kwa Mungu ulikuwa na kitisho kwangu, Na kwa sababu ya ukuu wake sikuweza kufanya neno.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maana hasara kutoka kwa Mungu ni kitisho kwangu; mimi siwezi kusimama mbele ya ukubwa wake.