Job 31:33 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Je nimeficha makosa yangu kama wengine? Je nimekataa kukiri dhambi zangu?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kama nimeifunika dhambi yangu kama wanadamu wengine wafanyavyo, kwa kuficha hatia yangu moyoni mwangu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikiwa kama mwanadamu nimeyafunika makosa yangu, Kwa kuuficha uovu wangu kifuani mwangu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Je nimeficha makosa yangu kama wengine? Je nimekataa kukiri dhambi zangu?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kama nimeifunika dhambi yangu kama wanadamu wengine wafanyavyo, kwa kuficha hatia yangu moyoni mwangu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kama nimeifunika dhambi yangu kama wanadamu wengine wafanyavyo, kwa kuficha hatia yangu moyoni mwangu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikiwa kama mwanadamu nimeyafunika makosa yangu, Kwa kuuficha uovu wangu kifuani mwangu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Je nimeficha makosa yangu kama wengine? Je nimekataa kukiri dhambi zangu?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Je? Niliyafunika mapotovu yangu kama watu wengine? Au nilizificha manza, nilizozikora, kifuani pangu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikiwa kama mwanadamu nimeyafunika makosa yangu, Kwa kuuficha uovu wangu kifuani mwangu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nimeficha makosa yangu kama wengine? Nimekataa kutambua zambi zangu?