Job 31:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Kama nimeishi kwa kufuata uongo, kama nimekuwa mbioni kudanganya watu,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Kama nimeishi katika uongo au mguu wangu umekimbilia udanganyifu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwamba nimetembea katika ubatili, Na mguu wangu umeukimbilia udanganyifu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Kama nimeishi kwa kufuata uongo, kama nimekuwa mbioni kudanganya watu,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Kama nimeishi katika uongo au mguu wangu umekimbilia udanganyifu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Kama nimeishi katika uongo au mguu wangu umekimbilia udanganyifu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwamba nimetembea katika ubatili, Na mguu wangu umeukimbilia udanganyifu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Kama nimeishi kwa kufuata uongo, kama nimekuwa mbioni kudanganya watu,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama nilifanya mwenendo ulio wa uwongo, miguu yangu ikakimbilia yaliyo madanganyifu,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwamba nimetembea katika ubatili, Na mguu wangu umeukimbilia udanganyifu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu anipime katika mizani ya haki, naye ataona kwamba sina kosa. Kama nimeishi kwa kufuata uongo, kama nimekimbilia kudanganya watu,