Job 32:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jihadharini msije mkasema, ‘Sasa tumepata hekima. Atakayemshinda ni Mungu, sio binadamu.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Msiseme, ‘Tumepata hekima; Mungu na amthibitishe kuwa mwongo, wala si mwanadamu.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Jitunzeni msiseme, Sisi tumepata hekima; Mungu yumkini akamshinda, si mtu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jihadharini msije mkasema, ‘Sasa tumepata hekima. Atakayemshinda ni Mungu, sio binadamu.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Msiseme, ‘Tumepata hekima, Mungu na amthibitishe kuwa mwongo, wala si mwanadamu.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Msiseme, ‘Tumepata hekima; Mungu na amthibitishe kuwa mwongo, wala si mwanadamu.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Jitunzeni msiseme, Sisi tumepata hekima; Mungu huenda akamshinda, si mtu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jihadharini msije mkasema, ‘Sasa tumepata hekima. Atakayemshinda ni Mungu, sio binadamu.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Msiseme: Kwa kuwa ni mwenye werevu wa kweli, tumeona, atakayemshinda ni Mungu, si mtu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Jitunzeni msiseme, Sisi tumepata hekima; Mungu yumkini akamshinda, si mtu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo musiseme: “Sasa tumepata hekima. Atakayemushinda ni Mungu, wala si mwanadamu.”