Job 32:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maneno ya Yobu hayakuwa kwa ajili yangu, kwa hiyo sitamjibu kama mlivyomjibu nyinyi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini Ayubu hajayapanga maneno yake dhidi yangu, nami sitamjibu kwa kutumia hoja zenu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa yeye hajayaelekeza maneno yake kwangu; Wala sitamjibu mimi kwa maneno yenu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maneno ya Yobu hayakuwa kwa ajili yangu, kwa hiyo sitamjibu kama mlivyomjibu nyinyi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini Ayubu hajayapanga maneno yake dhidi yangu, nami sitamjibu kwa kutumia hoja zenu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini Ayubu hajayapanga maneno yake dhidi yangu, nami sitamjibu kwa kutumia hoja zenu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kuwa yeye hajayaelekeza maneno yake kwangu; Wala sitamjibu mimi kwa maneno yenu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maneno ya Yobu hayakuwa kwa ajili yangu, kwa hiyo sitamjibu kama mlivyomjibu nyinyi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hajajiweka tayari kusema na mimi, lakini kama ninyi mlivyosemeana naye, sitamjibu hivyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa yeye hajayaelekeza maneno yake kwangu; Wala sitamjibu mimi kwa maneno yenu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maneno ya Yobu hayakukuwa kwa ajili yangu. Kwa hiyo sitamujibu kama vile mulivyomujibu ninyi.