Job 32:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Je, ningoje tu kwa vile hamsemi, kwa sababu mnakaa tu bila kujibu kitu?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya, kwa vile sasa wanasimama bila kuwa na la kujibu?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na mimi, je! Ningoje, kwa sababu hawaneni, Kwa sababu wasimama kimya, wala wasijibu tena;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Je, ningoje tu kwa vile hamsemi, kwa sababu mnakaa tu bila kujibu kitu?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya, kwa vile sasa wanasimama bila kuwa na la kujibu?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya, kwa vile sasa wanasimama bila kuwa na la kujibu?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na mimi, je! Ningoje, kwa sababu hawaneni, Kwa sababu wasimama kimya, wala wasijibu tena;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Je, ningoje tu kwa vile hamsemi, kwa sababu mnakaa tu bila kujibu kitu?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walipokuwa hawasemi neno, nikangoja, lakini wakasimama tu pasipo kujibu tena.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na mimi, je! Ningoje, kwa sababu hawaneni, Kwa sababu wasimama kimya, wala wasijibu tena;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, ningoje tu kwa vile hamusemi, kwa sababu munakaa tu bila kujibu kitu?