Job 32:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini alipoona hao watu watatu wameshindwa kumjibu Yobu, aliwaka hasira.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini alipoona watu hao watatu hawakuwa na kitu zaidi cha kusema, hasira yake ikaamka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hata Elihu alipoona kuwa hapana jawabu katika vinywa vya watu hao watatu, hasira zake ziliwaka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini alipoona hao watu watatu wameshindwa kumjibu Yobu, aliwaka hasira.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini alipoona watu hao watatu hawakuwa na kitu zaidi cha kusema, hasira yake ikaamka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini alipoona watu hao watatu hawakuwa na kitu zaidi cha kusema, hasira yake ikaamka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hata Elihu alipoona kuwa hapana jawabu katika vinywa vya watu hao watatu, hasira zake ziliwaka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini alipoona hao watu watatu wameshindwa kumjibu Yobu, aliwaka hasira.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Elihu alipoona, ya kuwa hakuna jibu tena litokalo vinywani mwao wale watatu, makali yake yakawaka kama moto.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hata Elihu alipoona kuwa hapana jawabu katika vinywa vya watu hao watatu, hasira zake ziliwaka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini alipoona wale watu watatu wameshindwa kumujibu Yobu, akawaka hasira.