Job 32:7 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nilisema moyoni: ‘Waache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme, nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nilisema, Yafaa siku ziseme, Na wingi wa miaka ufundishe hekima.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nilisema moyoni: ‘Waache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme, nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme, nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nilisema, Yafaa siku ziseme, Na wingi wa miaka ufundishe hekima.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nilisema moyoni: ‘Waache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nilisema: Wenye uzee na waseme, walio na miaka mingi na waujulishe werevu wa kweli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nilisema, Yafaa siku ziseme, Na wingi wa miaka ufundishe hekima.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nilisema ndani ya moyo: “Uwaache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.”