Job 32:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini hiyo roho iliyomo ndani ya mtu, hiyo pumzi ya Mungu Mwenye Nguvu, ndio inayomwezesha mwanadamu kufahamu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini ni Roho iliyo ndani ya mwanadamu, pumzi ya Mwenyezi, ndiyo impayo ufahamu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini imo roho ndani ya mwanadamu, Na pumzi za Mwenyezi huwapa akili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini hiyo roho iliyomo ndani ya mtu, hiyo pumzi ya Mungu Mwenye Nguvu, ndio inayomwezesha mwanadamu kufahamu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini ni Roho iliyoko ndani ya mwanadamu, pumzi ya Mwenyezi, ndiyo impayo yeye ufahamu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini ni Roho iliyoko ndani ya mwanadamu, pumzi ya Mwenyezi, ndiyo impayo yeye ufahamu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini hakika imo roho ndani ya mwanadamu, Na pumzi ya Mwenyezi ndiyo impayo ufahamu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini hiyo roho iliyomo ndani ya mtu, hiyo pumzi ya Mungu Mwenye Nguvu, ndio inayomwezesha mwanadamu kufahamu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini kinachowapa watu utambuzi ni roho iliyomo mwao pamoja na pumzi yake yeye Mwenyezi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini imo roho ndani ya mwanadamu, Na pumzi za Mwenyezi huwapa akili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini ile roho inayokuwa ndani ya mutu, ile pumzi ya Mungu Mwenye Uwezo, ndiyo inayomwezesha mwanadamu kufahamu.