Job 32:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Si lazima kuwa mzee ili uwe na hekima wala wazee siyo wenye kufahamu lililo sawa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sio wazee peke yao walio na hekima, sio wenye umri mkubwa peke yao wanaofahamu lililo sawa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sio wakuu walio wenye akili, Wala sio wazee watambuao hukumu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Si lazima kuwa mzee ili uwe na hekima wala wazee siyo wenye kufahamu lililo sawa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sio wazee peke yao walio na hekima, wala sio wenye umri mkubwa peke yao wanaofahamu lililo sawa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sio wazee peke yao walio na hekima, sio wenye umri mkubwa peke yao wanaofahamu lililo sawa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sio wakuu walio wenye hekima, Wala sio wazee watambuao haki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Si lazima kuwa mzee ili uwe na hekima wala wazee siyo wenye kufahamu lililo sawa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini wazee wenye miaka mingi sio wanaoerevuka kweli, wao wazee sio wanaoyajua mashauri yaliyo sawa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sio wakuu walio wenye akili, Wala sio wazee watambuao hukumu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Si lazima kuwa muzee kusudi ukuwe na hekima; haiko wazee tu ndio wenye kufahamu jambo linalokuwa sawa.