Job 33:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
umesema kwamba Mungu anakutafutia kisa, na kukuona kama adui yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini bado Mungu amepata dosari kwangu, naye ananiona kama adui yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tazama, yuaona sababu za kufarakana nami, Hunihesabu kuwa ni adui yake;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
umesema kwamba Mungu anakutafutia kisa, na kukuona kama adui yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini bado Mungu amepata dosari kwangu, naye ananiona kama adui yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini bado Mungu amepata dosari kwangu, naye ananiona kama adui yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tazama, yuaona sababu za kufarakana nami, Hunihesabu kuwa ni adui yake;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
umesema kwamba Mungu anakutafutia kisa, na kukuona kama adui yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tazama! Yako mambo, Mungu aliyonionea: ananiwazia kuwa miongoni mwao wachukivu wake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tazama, yuaona sababu za kufarakana nami, Hunihesabu kuwa ni adui yake;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu ananitafutia sababu, ananiona kama adui yake.