Job 33:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Lakini Yobu, nakuambia hapo umekosea. Mungu ni mkuu kuliko binadamu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Lakini mimi ninakuambia, katika jambo hili wewe una makosa, kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mwanadamu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tazama, nitakujibu, katika neno hili huna haki; Kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mwanadamu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Lakini Yobu, nakuambia hapo umekosea. Mungu ni mkuu kuliko binadamu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Lakini mimi ninakuambia, katika jambo hili wewe una makosa, kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mwanadamu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Lakini mimi ninakuambia, katika jambo hili wewe una makosa, kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mwanadamu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tazama, nitakujibu, katika neno hili huna haki; Kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mwanadamu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Lakini Yobu, nakuambia hapo umekosea. Mungu ni mkuu kuliko binadamu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tazama! Ninakujibu: kwa hiyo huongoki, kwani Mungu ni mkuu kuliko mtu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tazama, nitakujibu, katika neno hili huna haki; Kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mwanadamu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Yobu, ninakuambia pale umekosa. Mungu ni mukubwa kuliko mwanadamu.