Job 33:14 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu anaposema hutumia njia moja, au njia nyingine lakini mtu hatambui.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa kuwa Mungu husema, wakati huu kwa njia moja, au wakati mwingine kwa njia nyingine, ingawa mwanadamu anaweza asielewe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu anaposema hutumia njia moja, au njia nyingine lakini mtu hatambui.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa kuwa Mungu husema, wakati huu kwa njia moja, au wakati mwingine kwa njia nyingine, ingawa mwanadamu anaweza asielewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa kuwa Mungu husema, wakati huu kwa njia moja, au wakati mwingine kwa njia nyingine, ingawa mwanadamu anaweza asielewe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ijapokuwa mtu hatambui.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu anaposema hutumia njia moja, au njia nyingine lakini mtu hatambui.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini Mungu akisema mara moja au mara mbili, mtu haangalii; au sivyo?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu anaweza kusema kwa njia moja au ingine lakini mutu hatambui.