Job 33:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu huongea na watu katika ndoto na maono, wakati usingizi mzito unapowavamia,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mungu husema na mwanadamu katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito uwaangukiapo wanadamu wasinziapo vitandani mwao,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu huongea na watu katika ndoto na maono, wakati usingizi mzito unapowavamia,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mungu husema na mwanadamu katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito uwaangukiapo wanadamu wasinziapo vitandani mwao,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mungu husema na mwanadamu katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito uwaangukiapo wanadamu wasinziapo vitandani mwao,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiapo watu, Katika usingizi kitandani;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu huongea na watu katika ndoto na maono, wakati usingizi mzito unapowavamia,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Watu wakiona ndoto kwa kulala usiku wenye usingizi mwingi, hapo, wanapokuwa wanalala vitandani pao,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu anaongea na watu katika ndoto na maono, wakati usingizi muzito unapowapata,