Job 33:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hivyo humkinga mtu asiangamie shimoni, maisha yake yasiangamie kwa upanga.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kuiokoa nafsi yake na shimo, uhai wake usiangamizwe kwa upanga.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye huizuia nafsi yake isiende shimoni, Na uhai wake usiangamie kwa upanga.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hivyo humkinga mtu asiangamie shimoni, maisha yake yasiangamie kwa upanga.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kuiokoa nafsi yake na shimo, uhai wake usiangamizwe kwa upanga.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kuiokoa nafsi yake na shimo, uhai wake usiangamizwe kwa upanga.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye huizuia nafsi yake isiende shimoni, Na uhai wake usiangamie kwa upanga.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hivyo humkinga mtu asiangamie shimoni, maisha yake yasiangamie kwa upanga.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
aizuie nayo roho yake, isitumbukie shimoni, nao mwili wake wenye uzima, usipite penye mishale iuayo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye huizuia nafsi yake isiende shimoni, Na uhai wake usiangamie kwa upanga.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hivyo anamukinga mutu asiangamie katika shimo, maisha yake yasiangamie kwa upanga.