Job 33:23 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini malaika akiwapo karibu naye, mmoja kati ya maelfu ya watetezi wa Mungu, ili kumwonesha lililo jema la kufanya,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Kama bado kuna malaika upande wake kama mtetezi, mmoja miongoni mwa elfu, wa kumwambia mwanadamu lililo jema kwake,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwamba akiwapo malaika pamoja naye, Mkalimani, mmoja katika elfu, Ili kumwonyesha binadamu hayo yampasayo;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini malaika akiwapo karibu naye, mmoja kati ya maelfu ya watetezi wa Mungu, ili kumwonesha lililo jema la kufanya,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Kama bado kuna malaika upande wake kama mtetezi, mmoja miongoni mwa elfu, wa kumwambia mwanadamu lililo jema kwake,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Kama bado kuna malaika upande wake kama mtetezi, mmoja miongoni mwa elfu, wa kumwambia mwanadamu lililo jema kwake,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini akiwapo malaika pamoja naye, Mpatanishi, mmoja katika elfu, Ili kumwonesha binadamu hayo yampasayo;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini malaika akiwapo karibu naye, mmoja kati ya maelfu ya watetezi wa Mungu, ili kumwonesha lililo jema la kufanya,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hapo malaika akamtokea, ampatanishe na Mungu, mmoja wao walioko kama elfu; akimwonyesha mtu njia ya kunyoka tena,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwamba akiwapo malaika pamoja naye, Mkalimani, mmoja katika elfu, Ili kumwonyesha binadamu hayo yampasayo;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini inawezekana kwamba malaika, ambaye ni mupatanishi mumoja kati ya maelfu, atakuwa karibu na mutu yule kwa kumufunulia jambo la kufanya.