Job 33:27 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Atashangilia mbele ya watu na kusema: ‘Nilitenda dhambi na kupotosha haki, nami sikuadhibiwa kutokana na hayo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo huja mbele za watu na kusema, ‘Nilitenda dhambi na kupotosha kilichokuwa haki, lakini sikuadhibiwa kama nilivyostahili.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye huimba mbele ya watu, na kusema, Mimi nimefanya dhambi, na kuyapotosha hayo yaliyoelekea, Wala sikulipizwa jambo hilo;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Atashangilia mbele ya watu na kusema: ‘Nilitenda dhambi na kupotosha haki, nami sikuadhibiwa kutokana na hayo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo huja mbele za watu na kusema, ‘Nilitenda dhambi na kupotosha kilichokuwa haki, lakini sikuadhibiwa kama nilivyostahili.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo huja mbele za watu na kusema, ‘Nilitenda dhambi na kupotosha kilichokuwa haki, lakini sikuadhibiwa kama nilivyostahili.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye huimba mbele ya watu, na kusema, Mimi nimefanya dhambi, na kuyapotosha hayo yaliyoelekea, Wala sikulipizwa jambo hilo;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Atashangilia mbele ya watu na kusema: ‘Nilitenda dhambi na kupotosha haki, nami sikuadhibiwa kutokana na hayo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye ataimba, watu wamsikie, akiungama kwamba: Nalikosa kwa kuyapotoa yanyokayo, lakini hakuna malipo, niliyotozwa!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye huimba mbele ya watu, na kusema, Mimi nimefanya dhambi, na kuyapotosha hayo yaliyoelekea, Wala sikulipizwa jambo hilo;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Atashangilia mbele ya watu na kusema: “Nilitenda zambi na kupotosha usawa, nami sikuazibiwa kutokana na hayo.