Job 33:29 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Tazama Mungu humfanyia binadamu haya yote, tena mara mbili, mara tatu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Mungu hufanya haya yote kwa mwanadamu; mara mbili hata mara tatu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tazama, hayo yote ni Mungu anayeyafanya, Mara mbili, naam, hata mara tatu, kwa mtu,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Tazama Mungu humfanyia binadamu haya yote, tena mara mbili, mara tatu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Mungu hufanya haya yote kwa mwanadamu, mara mbili hata mara tatu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Mungu hufanya haya yote kwa mwanadamu; mara mbili hata mara tatu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tazama, hayo yote ni Mungu anayeyafanya, Mara mbili, naam, hata mara tatu, kwa mtu,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Tazama Mungu humfanyia binadamu haya yote, tena mara mbili, mara tatu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tazama! Hayo yote ndiyo, Mungu anayoyafanya mara mbili, hata mara tatu,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tazama, hayo yote ni Mungu anayeyafanya, Mara mbili, naam, hata mara tatu, kwa mtu,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sikia! Mungu anamufanyia mwanadamu haya yote, tena mara mbili, mara tatu.