Job 33:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wewe umesema, u safi na wala huna kosa, u safi kabisa na huna hatia;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
‘Mimi ni safi na sina dhambi; mimi ni safi na sina hatia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mimi ni safi, sina makosa; Sina hatia, wala hapana uovu ndani yangu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wewe umesema, u safi na wala huna kosa, u safi kabisa na huna hatia;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
‘Mimi ni safi na sina dhambi, mimi ni safi na sina hatia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
‘Mimi ni safi na sina dhambi; mimi ni safi na sina hatia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mimi ni safi, sina makosa; Sina hatia, wala hapana uovu ndani yangu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wewe umesema, u safi na wala huna kosa, u safi kabisa na huna hatia;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ninatakata, sikufanya kiovu, mimi ni safi, sikukora manza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mimi ni safi, sina makosa; Sina hatia, wala hapana uovu ndani yangu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wewe umesema hivi: “Mimi niko safi, wala sina kosa. Hakuna ubaya wowote katika moyo wangu.