Job 34:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu atamlipa mtu kadiri ya matendo yake, atamlipiza kulingana na mwenendo wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Humlipa mwanadamu kwa ajili ya lile alilotenda; huleta juu yake kile ambacho matendo yake yanastahili.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwani atamlipa binadamu kwa kazi yake, Naye atamfanya kila mtu kuona sawasawa na njia zake
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu atamlipa mtu kadiri ya matendo yake, atamlipiza kulingana na mwenendo wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Humlipa mwanadamu kwa ajili ya lile alilotenda, huleta juu yake kile ambacho matendo yake yanastahili.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Humlipa mwanadamu kwa ajili ya lile alilotenda; huleta juu yake kile ambacho matendo yake yanastahili.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwani atamlipa binadamu kwa kazi yake, Naye atamfanya kila mtu kuona kulingana na njia zake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu atamlipa mtu kadiri ya matendo yake, atamlipiza kulingana na mwenendo wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ila humlipisha mtu matendo yake, aone yaupasayo mwenendo wake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwani atamlipa binadamu kwa kazi yake, Naye atamfanya kila mtu kuona sawasawa na njia zake
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu atamulipa mutu kadiri ya matendo yake, atamulipiza kulingana na mwenendo wake.