Job 34:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ni ukweli mtupu: Mungu hafanyi ovu; Mungu Mwenye Nguvu kamwe hapotoshi haki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ni jambo lisilofikirika kwamba Mungu angefanya makosa, kwamba Mwenyezi angepotosha hukumu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naam, hakika, Mungu hatatenda mabaya, Wala Mwenyezi hatapotosha hukumu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ni ukweli mtupu: Mungu hafanyi ovu; Mungu Mwenye Nguvu kamwe hapotoshi haki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ni jambo lisiloweza kufikiriwa kwamba Mungu angefanya makosa, kwamba Mwenyezi angepotosha hukumu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ni jambo lisiloweza kufikiriwa kwamba Mungu angefanya makosa, kwamba Mwenyezi angepotosha hukumu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naam, hakika, Mungu hatatenda mabaya, Wala Mwenyezi hatapotosha hukumu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ni ukweli mtupu: Mungu hafanyi ovu; Mungu Mwenye Nguvu kamwe hapotoshi haki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hii ni kweli, Mungu hafanyi maovu, wala Mwenyezi hayapotoi mashauri yaliyo sawa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naam, hakika, Mungu hatatenda mabaya, Wala Mwenyezi hatapotosha hukumu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ni ukweli mutupu: Mungu hafanyi jambo ovu. Mungu Mwenye Uwezo hapotoshi haki hata kidogo.