Job 34:20 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kufumba na kufumbua hao wamekufa; hutikiswa usiku na kuaga dunia; nao wenye nguvu hufutiliwa mbali bila kutumia nguvu za mtu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wanakufa ghafula, usiku wa manane; watu wanatikiswa nao hupita; wenye nguvu huondolewa bila mkono wa mwanadamu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hufa ghafula, hata usiku wa manane; Watu hutikisika na kwenda zao, Nao mashujaa huondolewa pasipo mkono wa mtu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kufumba na kufumbua hao wamekufa; hutikiswa usiku na kuaga dunia; nao wenye nguvu hufutiliwa mbali bila kutumia nguvu za mtu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wanakufa ghafula, usiku wa manane; watu wanatikiswa nao hupita; wenye nguvu huondolewa bila mkono wa mwanadamu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wanakufa ghafula, usiku wa manane; watu wanatikiswa nao hupita; wenye nguvu huondolewa bila mkono wa mwanadamu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hufa ghafla, hata usiku wa manane; Watu hutikisika na kwenda zao, Nao mashujaa huondolewa pasipo mkono wa mtu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kufumba na kufumbua hao wamekufa; hutikiswa usiku na kuaga dunia; nao wenye nguvu hufutiliwa mbali bila kutumia nguvu za mtu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Punde si punde, mara watu hufa, usiku wa manane hupepesuka, kisha huenda zao, nao wenye nguvu huondolewa pasipo kushikwa mikono.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hufa ghafula, hata usiku wa manane; Watu hutikisika na kwenda zao, Nao mashujaa huondolewa pasipo mkono wa mtu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kufumba na kufumbua hao wamekufa; wanatikiswa usiku na kuaga dunia; nao wenye nguvu wanaondolewa bila kutumia nguvu za mutu.