Job 34:23 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu hahitaji kumjulisha mtu wakati wa kumleta mbele ya mahakama yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mungu hana haja ya kumchunguza mtu sana, ili apate kuja mbele zake kwa hukumu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwani yeye hana haja ya kumfikiria mtu zaidi, ili aende mbele za Mungu ahukumiwe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu hahitaji kumjulisha mtu wakati wa kumleta mbele ya mahakama yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mungu hana haja ya kumchunguza mtu sana, ili apate kuja mbele zake kwa hukumu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mungu hana haja ya kumchunguza mtu sana, ili apate kuja mbele zake kwa hukumu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwani yeye hana haja ya kumfikiria mtu zaidi, ili aende mbele za Mungu ahukumiwe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu hahitaji kumjulisha mtu wakati wa kumleta mbele ya mahakama yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani Mungu hamwangalii mtu mara kwa mara akimtaka, aje kwake kukatwa shauri.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwani yeye hana haja ya kumfikiria mtu zaidi, ili aende mbele za Mungu ahukumiwe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu hahitaji kumujulisha mutu wakati wa kumuleta mbele ya tribinali yake.