Job 34:27 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
kwa sababu wameacha kumfuata yeye, wakazipuuza njia zake zote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa sababu wameacha kumfuata Mungu, nao hawakuiheshimu njia yake hata moja.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa sababu walikengeuka, wasimwandame yeye, Wasikubali kuzishika njia zake hata moja;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
kwa sababu wameacha kumfuata yeye, wakazipuuza njia zake zote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa sababu wameacha kumfuata Mungu, nao hawakuiheshimu njia yake hata moja.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa sababu wameacha kumfuata Mungu, nao hawakuiheshimu njia yake hata moja.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa sababu walikengeuka, wasimfuate yeye, Wasikubali kuzishika njia zake hata moja;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
kwa sababu wameacha kumfuata yeye, wakazipuuza njia zake zote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ni kwa sababu waliacha kumfuata, nazo njia zake zote hawakuziangalia, wazishike.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa sababu walikengeuka, wasimwandame yeye, Wasikubali kuzishika njia zake hata moja;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kwa sababu wameacha kumufuata yeye, wakazarau njia zake zote.