Job 34:3 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sikio huyapima maneno, kama vile ulimi uonjavyo chakula.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno, Kama vile kaakaa lionjavyo chakula.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sikio huyapima maneno, kama vile ulimi uonjavyo chakula.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno, Kama vile kaakaa lionjavyo chakula.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sikio huyapima maneno, kama vile ulimi uonjavyo chakula.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani sikio huyajaribu yanayosemwa, ufizi nao huyaonja yanayoliwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno, Kama vile kaakaa lionjavyo chakula.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sikio linapima maneno, kama vile ulimi unavyoonja chakula.