Job 34:30 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
liwe ni taifa au mtu mmojammoja? Hufanya hivyo, mtu mbaya asitawale, au wale wahatarishao maisha ya watu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ili kumzuia mtu mwovu kutawala, au wale ambao huwategea watu mitego.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwamba huyo mpotovu asitawale, Pasiwe na wa kuwatega watu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
liwe ni taifa au mtu mmojammoja? Hufanya hivyo, mtu mbaya asitawale, au wale wahatarishao maisha ya watu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ili, kumzuia mtu mwovu kutawala, au wale ambao huwategea watu mitego.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ili kumzuia mtu mwovu kutawala, au wale ambao huwategea watu mitego.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ili huyo mpotovu asitawale, Wala pasiwe na wa kuwatega watu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
liwe ni taifa au mtu mmojammoja? Hufanya hivyo, mtu mbaya asitawale, au wale wahatarishao maisha ya watu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Huku ni kwamba: Mtu mpotovu asiwe mfalme, asigeuke kuwa tanzi la kutegea watu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwamba huyo mpotovu asitawale, Pasiwe na wa kuwatega watu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anafanya hivyo, mutu mubaya asitawale, au wale wanaohatarisha maisha ya watu.