Job 34:32 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nioneshe makosa nisiyoweza kuyaona kama nimetenda mabaya sitayarudia tena.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nifundishe nisichoweza kuona; kama nimekukosea, sitafanya hivyo tena.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nisiyoyaona nifundishe wewe; Kama nimefanya uovu sitafanya tena?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nioneshe makosa nisiyoweza kuyaona kama nimetenda mabaya sitayarudia tena.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nifundishe nisichoweza kuona; kama nimekukosea, sitafanya hivyo tena.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nifundishe nisichoweza kuona; kama nimekukosea, sitafanya hivyo tena.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nisiyoyaona nifundishe wewe; Kama nimefanya uovu sitafanya tena?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nioneshe makosa nisiyoweza kuyaona kama nimetenda mabaya sitayarudia tena.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama yako, nisiyoyaona, nifundishe wewe! Kama nilifanya mapotovu, sitayafanya tena?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nisiyoyaona nifundishe wewe; Kama nimefanya uovu sitafanya tena?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Unionyeshe makosa nisiyoweza kuyaona. Kama nimetenda mabaya, sitayarudilia tena.”