Job 34:35 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
‘Yobu anaongea bila kutumia akili, maneno yake hayana maana.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
‘Ayubu huongea bila maarifa; maneno yake hayana busara.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Huyo Ayubu amesema pasipo maarifa, Na maneno yake hayana hekima.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
‘Yobu anaongea bila kutumia akili, maneno yake hayana maana.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
‘Ayubu huongea bila maarifa, maneno yake hayana busara.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
‘Ayubu huongea bila maarifa; maneno yake hayana busara.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Huyo Ayubu amesema pasipo maarifa, Na maneno yake hayana hekima.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
‘Yobu anaongea bila kutumia akili, maneno yake hayana maana.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Iyobu aliyoyasema siyo ya ujuzi, kweli maneno yake siyo ya mtu mwenye akili.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Huyo Ayubu amesema pasipo maarifa, Na maneno yake hayana hekima.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Yobu anaongea bila kutumia akili, maneno yake hayana maana.”