Job 34:37 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huongeza uasi juu ya dhambi zake; anaeneza mashaka kati yetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwenye dhambi yake huongeza uasi; kwa dharau hupiga makofi miongoni mwetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwani huongeza uasi juu ya dhambi zake, Apiga makofi kati yetu, Na kuongeza maneno yake kinyume cha Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huongeza uasi juu ya dhambi zake; anaeneza mashaka kati yetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwenye dhambi yake huongeza uasi, kwa dharau hupiga makofi miongoni mwetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwenye dhambi yake huongeza uasi; kwa dharau hupiga makofi miongoni mwetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana huongeza uasi juu ya dhambi zake, Apiga makofi kati yetu, Na kuongeza maneno yake kinyume cha Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huongeza uasi juu ya dhambi zake; anaeneza mashaka kati yetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani makosa yake anayaongeza na kufanya maovu, akitupigia makofi machoni petu, tena akimgombeza Mungu kwa kusema kwake. Elihu akajibu tena akisema:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwani huongeza uasi juu ya dhambi zake, Apiga makofi kati yetu, Na kuongeza maneno yake kinyume cha Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anaongeza uasi juu ya zambi zake; anaeneza mashaka kati yetu, na kuzidisha maneno yake juu ya Mungu.