Job 34:5 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Yobu ametamka: ‘Mimi Yobu sina hatia, Mungu ameniondolea haki yangu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Ayubu anasema, ‘Mimi sina hatia, lakini Mungu ameninyima haki yangu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwani Ayubu amesema, Mimi ni mwenye haki, Naye Mungu ameniondolea haki yangu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Yobu ametamka: ‘Mimi Yobu sina hatia, Mungu ameniondolea haki yangu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Ayubu anasema, ‘Mimi sina hatia, lakini Mungu ameninyima haki yangu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Ayubu anasema, ‘Mimi sina hatia, lakini Mungu ameninyima haki yangu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwani Ayubu amesema, Mimi ni mwenye haki, Naye Mungu ameniondolea haki yangu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Yobu ametamka: ‘Mimi Yobu sina hatia, Mungu ameniondolea haki yangu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani Iyobu amesema: Mimi sikukosa, lakini Mungu ananinyima shauri lililo sawa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwani Ayubu amesema, Mimi ni mwenye haki, Naye Mungu ameniondolea haki yangu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, Yobu amesema: “Mimi Yobu sina kosa, Mungu ameniondolea haki yangu.