Job 34:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana amesema, ‘Mtu hapati faida yoyote, kujisumbua kumpendeza Mungu.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa kuwa anasema, ‘Haimfaidi mwanadamu kitu chochote anapojitahidi kumpendeza Mungu.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa amenena, Haimfai mtu lo lote Kujifurahisha na Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana amesema, ‘Mtu hapati faida yoyote, kujisumbua kumpendeza Mungu.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa kuwa anasema, ‘Haimfaidi mwanadamu kitu cho chote anapojitahidi kumpendeza Mungu.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa kuwa anasema, ‘Haimfaidi mwanadamu kitu chochote anapojitahidi kumpendeza Mungu.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kuwa amenena, Haimfai mtu lolote Kujifurahisha na Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana amesema, ‘Mtu hapati faida yoyote, kujisumbua kumpendeza Mungu.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani amesema: Hakuna mafaa, mtu anayojipatia kwa kupendezana naye Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa amenena, Haimfai mtu lo lote Kujifurahisha na Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maana amesema: “Mutu hapati faida yoyote na kujisumbua kumupendeza Mungu.”