Job 35:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu hao huomba msaada lakini Mungu hawajibu, kwa sababu ya majivuno ya watu waovu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye hajibu wakati watu waliapo kwa sababu ya kiburi cha watu waovu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hulia huko, lakini hapana ajibuye, Kwa sababu ya kiburi cha watu waovu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu hao huomba msaada lakini Mungu hawajibu, kwa sababu ya majivuno ya watu waovu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye hajibu wakati watu waliapo kwa sababu ya kiburi cha watu waovu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye hajibu wakati watu waliapo kwa sababu ya kiburi cha watu waovu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hulia huko, lakini hapana ajibuye, Kwa sababu ya kiburi cha watu waovu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu hao huomba msaada lakini Mungu hawajibu, kwa sababu ya majivuno ya watu waovu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini asipojibu, wanapomlilia, ni kwa ajili ya majivuno yao walio wabaya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hulia huko, lakini hapana ajibuye, Kwa sababu ya kiburi cha watu waovu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu wale wanaomba musaada lakini Mungu hawajibu, kwa sababu ya majivuno ya watu waovu.