Job 35:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sasa, kwa vile Mungu anazuia hasira yake, wala hajali sana makosa ya watu,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
pia zaidi, kwamba hasira yake kamwe haiadhibu wala haangalii uovu hata kidogo?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini sasa, kwa sababu yeye hakukujilia katika hasira zake, Wala hauangalii sana unyeti;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sasa, kwa vile Mungu anazuia hasira yake, wala hajali sana makosa ya watu,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
pia zaidi, kwamba hasira yake kamwe haiadhibu wala haangalii uovu hata kidogo?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
pia zaidi, kwamba hasira yake kamwe haiadhibu wala haangalii uovu hata kidogo?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini sasa, kwa sababu yeye hakukujia katika hasira zake, Wala hauzingatii sana makosa;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sasa, kwa vile Mungu anazuia hasira yake, wala hajali sana makosa ya watu,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Makali yake yasipotokea hata sasa, huwaziwa kuwa hajui kabisa, mtu akikorofishwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini sasa, kwa sababu yeye hakukujilia katika hasira zake, Wala hauangalii sana unyeti;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sasa, kwa vile Mungu anazuia hasira yake, wala hajali sana makosa ya watu,