Job 35:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Je, Yobu, unaona jambo hili ni sawa na kufikiri kinyume cha Mungu
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Je, unadhani hili ni haki? Wewe unasema, ‘Nina haki mbele za Mungu.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Wewe wadhani kwamba haya ni haki yako, Au je! Wasema, Haki yangu ni zaidi kuliko ya Mungu,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Je, Yobu, unaona jambo hili ni sawa na kufikiri kinyume cha Mungu
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Je, unadhani hili ni haki? Wewe unasema, ‘Nina haki mbele za Mungu.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Je, unadhani hili ni haki? Wewe unasema, ‘Nina haki mbele za Mungu.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Wewe wadhani kwamba haya ni haki yako, Au je! Wasema, Ni haki yangu mbele za Mungu,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Je, Yobu, unaona jambo hili ni sawa na kufikiri kinyume cha Mungu
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ukisema: Mimi ni mwenye wongofu kuliko Mungu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Wewe wadhani kwamba haya ni haki yako, Au je! Wasema, Haki yangu ni zaidi kuliko ya Mungu,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yobu, unaona jambo hili ni sawa? Unasema: “Mimi ni mwenye haki mbele ya Mungu.”