Job 35:3 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
ukiuliza: ‘Nimepata faida gani kama sikutenda dhambi? Nimefaidika kuliko kama ningalitenda dhambi?’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Bado unamuuliza, ‘Ni faida gani nimepata, na imenifaidi nini kwa kutokutenda dhambi?’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana wasema, Kutakuwa na faida gani kwako wewe? Tena, Nitapata faida gani, kuliko nikifanya dhambi?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
ukiuliza: ‘Nimepata faida gani kama sikutenda dhambi? Nimefaidika kuliko kama ningalitenda dhambi?’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Bado unamwuliza, ‘Ni faida gani nimepata na nimefaidi nini kwa kutokutenda dhambi?’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Bado unamuuliza, ‘Ni faida gani nimepata, na imenifaidi nini kwa kutokutenda dhambi?’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana wasema, Kutakuwa na faida gani kwako wewe? Tena, Nitapata faida gani, kuliko nikifanya dhambi?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
ukiuliza: ‘Nimepata faida gani kama sikutenda dhambi? Nimefaidika kuliko kama ningalitenda dhambi?’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
tena ukiuliza, kama huo wongofu utakupatia faida gani, tena ukisema: Nikiacha kukosa, inafaaje kuliko kukosa?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana wasema, Kutakuwa na faida gani kwako wewe? Tena, Nitapata faida gani, kuliko nikifanya dhambi?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tena unauliza: “Nimepata faida gani kama sikutenda zambi? Nimefaidika kuliko kama vile ningetenda zambi?”