Job 36:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini wasipomtii, huangamia kwa upanga, na kufa kwa kukosa akili.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini wasiposikiliza, wataangamia kwa upanga, nao watakufa pasipo maarifa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini wasiposikia, wataangamia kwa upanga, Nao watakufa pasipo maarifa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini wasipomtii, huangamia kwa upanga, na kufa kwa kukosa akili.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini wasiposikiliza, wataangamia kwa upanga, nao watakufa pasipo maarifa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini wasiposikiliza, wataangamia kwa upanga, nao watakufa pasipo maarifa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini wasiposikia, wataangamia kwa upanga, Nao watakufa pasipo maarifa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini wasipomtii, huangamia kwa upanga, na kufa kwa kukosa akili.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wengine sharti wapite penye mishale iuayo, ndio wasiomsikia; kwa kukosa ujuzi watazimia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini wasiposikia, wataangamia kwa upanga, Nao watakufa pasipo maarifa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini wasipomutii, wanaangamia kwa upanga, na kufa kwa kukosa akili.