Job 36:23 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nani basi aliyeweza kumpangia njia yake, au awezaye kumwambia: ‘Umekosea?’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ni nani aliyemwelekeza katika njia zake, au kumwambia, ‘Wewe umetenda yasiyo sawa’?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ni nani aliyemwagiza njia yake? Au ni nani awezaye kusema, Wewe umetenda yasiyo haki?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nani basi aliyeweza kumpangia njia yake, au awezaye kumwambia: ‘Umekosea?’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ni nani aliyemwelekeza katika njia zake, au kumwambia, ‘Wewe umetenda yasiyo sawa’?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ni nani aliyemwelekeza katika njia zake, au kumwambia, ‘Wewe umetenda yasiyo sawa’?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ni nani aliyemwagiza njia yake? Au ni nani awezaye kusema, Wewe umetenda yasiyo haki?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nani basi aliyeweza kumpangia njia yake, au awezaye kumwambia: ‘Umekosea?’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yuko nani amwagizaye kuzishika njia zake yeye? Au yuko nani awezaye kumwambia: unafanya mapotovu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ni nani aliyemwagiza njia yake? Au ni nani awezaye kusema, Wewe umetenda yasiyo haki?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nani basi aliyeweza kumupangia njia yake, au anayeweza kumwambia: “Umekosa”?