Job 36:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu huwaonesha matendo yao maovu, na kwamba wao ni watu wenye kiburi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
huwaonesha yale waliyoyatenda, kwamba wametenda dhambi kwa majivuno.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo huwaonyesha matendo yao, Na makosa yao, ya kuwa wametenda kwa kujivuna.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu huwaonesha matendo yao maovu, na kwamba wao ni watu wenye kiburi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
huwaonyesha yale waliyoyatenda, kwamba wametenda dhambi kwa majivuno.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
huwaonyesha yale waliyoyatenda, kwamba wametenda dhambi kwa majivuno.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo huwaonesha matendo yao, Na makosa yao, ya kuwa wametenda kwa kujivuna.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu huwaonesha matendo yao maovu, na kwamba wao ni watu wenye kiburi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ndipo, anapowaelezea matendo yao, wayaone, jinsi yalivyo, huwaonyesha mapotovu yao, waliyoyafanya kwa kujikuza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo huwaonyesha matendo yao, Na makosa yao, ya kuwa wametenda kwa kujivuna.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu anawaonyesha matendo yao maovu, na kwamba wao ni watu wenye kiburi.