Job 37:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa pumzi ya Mungu barafu hutokea, uso wa maji huganda kwa haraka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Pumzi ya Mungu hutoa barafu, eneo kubwa la maji huganda.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Barafu huletwa kwa pumzi za Mungu; Na upana wa maji huganda.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa pumzi ya Mungu barafu hutokea, uso wa maji huganda kwa haraka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Pumzi ya Mungu hutoa barafu, eneo kubwa la maji huganda.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Pumzi ya Mungu hutoa barafu, eneo kubwa la maji huganda.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa pumzi ya Mungu barafu hutokea; Na uso wa maji huganda punde.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa pumzi ya Mungu barafu hutokea, uso wa maji huganda kwa haraka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa pumzi ya Mungu hutokea barafu, nayo maji yaliyopanuka hugandamana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Barafu huletwa kwa pumzi za Mungu; Na upana wa maji huganda.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa pumzi ya Mungu barafu inatokea, uso wa maji unaganda kwa haraka.