Job 37:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wanyama wa porini hurudi mafichoni mwao, na hubaki katika mapango yao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wanyama hujificha; hubakia kwenye mapango yao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hapo wanyama huingia mafichoni, Na kukaa katika mapango yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wanyama wa porini hurudi mafichoni mwao, na hubaki katika mapango yao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wanyama hujificha; hubakia kwenye mapango yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wanyama hujificha; hubakia kwenye mapango yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hapo wanyama huingia mafichoni, Na kukaa katika mapango yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wanyama wa porini hurudi mafichoni mwao, na hubaki katika mapango yao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hapo nao nyama huenda kujificha, watulie mapangoni mwao, ndimo, wanamotaka kukaa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hapo wanyama huingia mafichoni, Na kukaa katika mapango yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nyama wa pori wanarudi katika maficho yao na kubaki katika mapango yao.