Job 39:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Je, wamtazamia nyati akuvunie mavuno yako, na kuleta nafaka mahali pa kupuria?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Utaweza kumwamini akuletee nafaka yako nyumbani kutoka shambani na kuikusanya kwenye sakafu yako ya kupuria?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Utamtumaini kwamba ataileta mbegu yako nyumbani. Na kukusanya nafaka ya kiwanja chako cha kupuria?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Je, wamtazamia nyati akuvunie mavuno yako, na kuleta nafaka mahali pa kupuria?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Utaweza kumwamini akuletee nafaka yako nyumbani kutoka shambani na kuikusanya kwenye sakafu yako ya kupuria?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Utaweza kumwamini akuletee nafaka yako nyumbani kutoka shambani na kuikusanya kwenye sakafu yako ya kupuria?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Utamtumaini kwamba ataileta mbegu yako nyumbani. Na kukusanya nafaka ya kiwanja chako cha kupuria?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Je, wamtazamia nyati akuvunie mavuno yako, na kuleta nafaka mahali pa kupuria?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Atayapeleka mazao yako nyumbani, ukimtegemea hivyo? Au yaliyomo chanjani mwako atayakusanya vema?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Utamtumaini kwamba ataileta mbegu yako nyumbani. Na kukusanya nafaka ya kiwanja chako cha kupuria?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Unamutazamia mbogo akuvunie mavuno yako, na kuleta ngano kwenye nafasi ya kupepetea?