Job 39:13 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa madaha, lakini hawezi kuruka kama korongo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa furaha, lakini hayawezi kulinganishwa na mabawa na manyoya ya korongo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bawa la mbuni hufurahi; Lakini mabawa yake na manyoya yake, je! Yana huruma?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa madaha, lakini hawezi kuruka kama korongo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa furaha, lakini hayawezi kulinganishwa na mabawa na manyoya ya korongo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa furaha, lakini hayawezi kulinganishwa na mabawa na manyoya ya korongo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bawa la mbuni hufurahi; Lakini mabawa yake na manyoya yake, je! Yana huruma?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa madaha, lakini hawezi kuruka kama korongo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mabawa ya mbuni huchezacheza, lakini je? Hayo mabawa na manyoya yake yako na upole?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bawa la mbuni hufurahi; Lakini mabawa yake na manyoya yake, je! Yana huruma?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mbuni anapigapiga mabawa yake kwa furaha, lakini hawezi kuruka kama korongo.