Job 39:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mbuni huyaacha mayai yake juu ya ardhi ili yapate joto mchangani;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huyataga mayai yake juu ya ardhi, na kuyaacha yapate joto mchangani,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwani yeye huyaacha mayai yake juu ya nchi, Na kuyatia moto mchangani,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mbuni huyaacha mayai yake juu ya ardhi ili yapate joto mchangani;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Huyataga mayai yake juu ya ardhi na kuyaacha yapate joto mchangani,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huyataga mayai yake juu ya ardhi, na kuyaacha yapate joto mchangani,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana yeye huyaacha mayai yake juu ya nchi, Na kuyatia moto mchangani,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mbuni huyaacha mayai yake juu ya ardhi ili yapate joto mchangani;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani mayai yake huyaacha hapo mchangani, huo mchanga uyaangue kwa joto lake;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwani yeye huyaacha mayai yake juu ya nchi, Na kuyatia moto mchangani,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mbuni anayaacha mayai yake juu ya udongo kusudi yapate joto ndani ya muchanga;