Job 39:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mbuni huwatendea wanawe ukatili kama si wake, hata kazi yake ikiharibika yeye hana wasiwasi;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye huyafanyia makinda yake ukatili kama vile si yake; hajali kwamba taabu yake inaweza ikawa bure,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
yeye huyafanyia ukali makinda yake, kana kwamba si yake; Ijapokuwa taabu yake ni ya bure, hana hofu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mbuni huwatendea wanawe ukatili kama si wake, hata kazi yake ikiharibika yeye hana wasiwasi;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye huyafanyia makinda yake ukatili kama vile si yake; hajali kwamba taabu yake inaweza ikawa bure,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye huyafanyia makinda yake ukatili kama vile si yake; hajali kwamba taabu yake inaweza ikawa bure,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye huwatendea ukatili makinda yake, kama kwamba si yake; Ijapokuwa kazi yake yaweza kuwa ya bure, yeye hana hofu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mbuni huwatendea wanawe ukatili kama si wake, hata kazi yake ikiharibika yeye hana wasiwasi;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Watoto wake huwakuza kwa ukali, kama sio wake, haogopi kwamba: Labda hautafaa huo utunzaji wake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
yeye huyafanyia ukali makinda yake, kana kwamba si yake; Ijapokuwa taabu yake ni ya bure, hana hofu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mbuni anatendea vitoto vyake kwa ukali kama vile si vyake, hata kazi yake ikiharibika yeye hana wasiwasi;