Job 39:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
kwa sababu nilimfanya asahau hekima yake, wala sikumpa sehemu yoyote ya akili.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa kuwa Mungu hakumjalia hekima, wala hakumpa fungu la akili njema.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa sababu Mungu amemnyima akili, Wala hakumpa fahamu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
kwa sababu nilimfanya asahau hekima yake, wala sikumpa sehemu yoyote ya akili.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa kuwa Mungu hakumjalia hekima, wala hakumpa fungu la akili njema.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa kuwa Mungu hakumjalia hekima, wala hakumpa fungu la akili njema.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa sababu Mungu amemnyima akili, Wala hakumpa fahamu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
kwa sababu nilimfanya asahau hekima yake, wala sikumpa sehemu yoyote ya akili.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani Mungu humsahaulisha werevu wa kweli, wala hakumgawia utambuzi wo wote.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa sababu Mungu amemnyima akili, Wala hakumpa fahamu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kwa sababu nilimufanya asahau hekima yake, wala sikumupa sehemu yoyote ya akili.