Job 39:26 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Je, mwewe amejifunza kwako jinsi ya kuruka, na kunyosha mabawa yake kuelekea kusini?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Je, mwewe huruka kwa hekima yako na kuyakunjua mabawa yake kuelekea kusini?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Mwewe huruka juu kwa akili zako, Na kuyanyosha mabawa yake kwenda kusini?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Je, mwewe amejifunza kwako jinsi ya kuruka, na kunyosha mabawa yake kuelekea kusini?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Je, mwewe huruka kwa hekima yako na kuyakunjua mabawa yake kuelekea kusini?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Je, mwewe huruka kwa hekima yako na kuyakunjua mabawa yake kuelekea kusini?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Mwewe huruka juu kwa akili zako, Na kuyanyosha mabawa yake kwenda kusini?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Je, mwewe amejifunza kwako jinsi ya kuruka, na kunyosha mabawa yake kuelekea kusini?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Je? Ni kwa utambuzi wako kipanga akiruka angani na kuyanyosha mabawa yake kwenda kusini?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Mwewe huruka juu kwa akili zako, Na kuyanyosha mabawa yake kwenda kusini?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwewe amejifunza kwako jinsi ya kuruka, na kunyoosha mabawa yake kuelekea upande wa kusini?