Job 39:28 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tai hufanya makazi yake juu ya miamba mirefu, na ncha kali za majabali ndizo ngome zake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huishi juu ya miamba mirefu na kukaa huko usiku; majabali yenye ncha kali ndiyo ngome yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hukaa jabalini, ndiko kwenye malazi yake, Juu ya genge la jabali, na ngomeni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tai hufanya makazi yake juu ya miamba mirefu, na ncha kali za majabali ndizo ngome zake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Huishi juu ya miamba mirefu na kukaa huko usiku, majabali yenye ncha kali ndiyo ngome yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huishi juu ya miamba mirefu na kukaa huko usiku; majabali yenye ncha kali ndiyo ngome yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hukaa jabalini, ndiko kwenye malazi yake, Juu ya genge la jabali, na ngomeni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tai hufanya makazi yake juu ya miamba mirefu, na ncha kali za majabali ndizo ngome zake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hutua penye miamba, apate kulala magengeni juu; ngome yake ilipo, ndipo papo hapo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hukaa jabalini, ndiko kwenye malazi yake, Juu ya genge la jabali, na ngomeni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tai anafanya makao yake juu ya mawe marefu, na incha kali za mawe makubwa ndizo maficho yake.