Job 4:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu huwaangamiza hao kwa pumzi yake, hao huteketezwa kwa pigo la hasira yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa pumzi ya Mungu huangamizwa; kwa mshindo wa hasira zake huangamia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa pumzi za Mungu huangamia. Na kwa kuvuma kwa hasira zake humalizika.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu huwaangamiza hao kwa pumzi yake, hao huteketezwa kwa pigo la hasira yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa pumzi ya Mungu huangamizwa, kwa mshindo wa hasira zake huangamia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa pumzi ya Mungu huangamizwa; kwa mshindo wa hasira zake huangamia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa pumzi za Mungu huangamia. Na kwa kuvuma kwa hasira zake humalizika.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu huwaangamiza hao kwa pumzi yake, hao huteketezwa kwa pigo la hasira yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mungu akiwapuzia, huangamia; akiwafokea kwa ukali wake humalizika.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa pumzi za Mungu huangamia. Na kwa kuvuma kwa hasira zake humalizika.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu anawaangamiza kwa pumzi yake; wanateketezwa kwa kuvuma kwa hasira yake.