Job 41:13 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Pumzi yake huwasha makaa; mwali wa moto hutoka kinywani mwake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ni nani awezaye kumvua gamba lake la nje? Ni nani awezaye kumsogelea na lijamu?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ni nani awezaye kumbambua magamba yake? Ni nani atakayepenya dirii yake maradufu?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Pumzi yake huwasha makaa; mwali wa moto hutoka kinywani mwake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ni nani awezaye kumvua gamba lake la nje? Ni nani awezaye kumsogelea na lijamu?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ni nani awezaye kumvua gamba lake la nje? Ni nani awezaye kumsogelea na lijamu?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ni nani awezaye kumbambua magamba yake? Ni nani atakayepenya dirii yake maradufu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Pumzi yake huwasha makaa; mwali wa moto hutoka kinywani mwake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yuko nani awezaye kulichuna vazi lake? Yuko nani atiaye mkono katika mataya yake yenye meno mawilimawili?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ni nani awezaye kumbambua magamba yake? Ni nani atakayepenya dirii yake maradufu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Pumzi yake inawakisha makaa; ulimi wa moto unatoka ndani ya kinywa chake.