Job 41:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hakuna mtu yeyote mkali athubutuye kulishtua. Nani, basi awezaye kusimama mbele yangu?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Unaweza kupitisha kamba puani mwake, au kutoboa taya lake kwa kulabu?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Waweza kutia kamba puani mwake? Au kutoboa taya yake kwa kulabu?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hakuna mtu yeyote mkali athubutuye kulishtua. Nani, basi awezaye kusimama mbele yangu?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Waweza kupitisha kamba puani mwake au kutoboa taya lake kwa kulabu?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Waweza kupitisha kamba puani mwake, au kutoboa taya lake kwa kulabu?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Waweza kutia kamba puani mwake? Au kutoboa taya yake kwa kulabu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hakuna mtu yeyote mkali athubutuye kulishtua. Nani, basi awezaye kusimama mbele yangu?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Au utaweza kumtia ugwe puani mwake? Au utaweza kulitoboa shavu lake kwa kulabu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Waweza kutia kamba puani mwake? Au kutoboa taya yake kwa kulabu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hakuna mutu yeyote mukali anayesubutu kumushitua. Nani, basi anayeweza kusimama mbele yangu?